Sifa Ya Mtu Anayetaka Kuwa Askofu Au Mwangalizi
"Basi imempasa askofu awe mtu asiyelaumika, mume wa mke mmoja, mwenye kiasi na busara, mtu wa utaratibu, mkaribishaji, ajuaye kufundisha", 1 Tim 3:2 SUV. Zipo sifa mbalimbali kwa kila eneo la kazi au huduma husika, sifa hizo zinamfanya mtu ajichunguze mwenyewe kama anakidhi vigezo ama la. Nje na elimu ya mtu juu ya kazi husika, [...]