Hatua Tano(5) Za Kukusaidia Unapojikuta Umri Umeenda Na Unahitaji Kuoa/Kuolewa Ila Hupati/Huoni Wa Kukuoa Au Wakumuoa.
Moja ya eneo ambalo linawapa changamoto wengi ni pale mtu anapofika muda wa kuhitaji kuoa/kuolewa ila anakuwa haoni yule anayemhitaji, wengine uvumilivu huwashinda na kujikuta wanaingia kwenye mahusiano ambayo hawakuyataka au hawakuyatarajia. Kuchelewa kuoa/kuolewa kunachangiwa na sababu mbalimbali, mwenye changamoto hii asimpomtegemea Mungu, au Imani yake ikiyumba, au asipopata washauri wazuri, atafanya maamuzi ambayo sio [...]