Hatari Inayoweza Kusababishwa Na Mzazi Kumpenda Mtoto Wake Mmoja
"Basi Israeli akampenda Yusufu kuliko wanawe wote, maana ni mwana wa uzee wake, akamfanyia kanzu ndefu. Ndugu zake wakaona ya kuwa baba yao anampenda kuliko ndugu zake wote, wakamchukia, wala hawakuweza kusema naye kwa amani", Mwa 37:3-4 SUV. Yakobo alionyesha upendo wake mkubwa kwa mtoto wake Yusufu, upendo huu ulikuwa mzuri sana kwa mtoto, kama [...]