Mahusiano – Chapeo Ya Wokovu

Je Unayemwomba Akupe Mke/mume Mwema Una Uhusiano Naye Mzuri?

"Bali kama yeye aliyewaita alivyo mtakatifu, ninyi nanyi iweni watakatifu katika mwenendo wenu wote; kwa maana imeandikwa, Mtakuwa watakatifu kwa kuwa mimi ni mtakatifu", 1 Pet 1:15‭-‬16 SUV. Kuna mazungumzo au hoja au jumbe huwa hatuzipendi sana kuzisikia kwenye masikio yetu, zaidi huwa tunapenda kusikia jumbe fulani nzuri za kututia moyo, sio vibaya kabisa ila [...]

By | May 16th, 2023|Mahusiano|0 Comments

Je Ni Sahihi Wachumba Kufungua Biashara Ya Pamoja Kwa Kuchangishana Fedha?

"Hivi ni sahihi wachumba kufanya miradi ya pamoja hasa ya biashara na wanaweza kukopeshana pesa?" Aruba L. Hili ni swali la ndugu ameuliza, kwa faida ya watu wote tunaweza kulijibu ili kila mmoja apate faida ya majibu ya swali hili ambalo baadhi ya vijana hujiuliza hasa upendo unapokuwa juu. Uchumba ni hatua muhimu sana na [...]

By | May 9th, 2023|Mahusiano|0 Comments

Mungu Anakupa Msaidizi Wa Kufanana Naye

"BWANA Mungu akasema, Si vema huyo mtu awe peke yake, nitamfanyia msaidizi wa kufanana naye", Mwa 2:18 SUV. Moja ya jambo muhimu sana aliliona Mungu baada ya kumpa Adamu majukumu ya kuitunza Bustani ya Edeni, aliona sio vyema aendelee kuwa peke yake akamfanyia msaidizi wa kufanana naye. Hii inatupa picha kuwa tangu mwanzo Mungu aliifanya [...]

By | April 27th, 2023|Mahusiano|0 Comments

Njia Rahisi Ya Kumvuta Mume Wako Kwenye Maisha Ya Wokovu

"Kadhalika ninyi wake, watiini waume zenu; kusudi, ikiwa wako wasioliamini Neno, wavutwe kwa mwenendo wa wake zao, pasipo lile Neno", 1 Pet 3:1 SUV. Petro anatoa fundisho kwa mwanamke aliyeolewa na aliyepata neema ya wokovu wakiwa kwenye ndoa. Anapaswa awe na ushawishi kupitia matendo yake, ili aweze kumvuta mume wake asiyeamini aweze kuokoka. Moja ya [...]

By | March 15th, 2023|Mahusiano|0 Comments

Zinaa Sio Ya Kuifurahia Na Kuimbilia Kuifanya

"Ikimbieni zinaa. Kila dhambi aitendayo mwanadamu ni nje ya mwili wake; ila yeye afanyaye zinaa hutenda dhambi juu ya mwili wake mwenyewe", 1 Kor 6:18 SUV. Zipo dhambi nyingi zilizo chukizo mbele za Mungu, lakini hizi dhambi zinatofautiana katika utendaji wake na viwango vyake. Zinaa ina utofauti na dhambi zingine, hili ni tendo ambalo humchukiza [...]

By | December 5th, 2022|Mahusiano|0 Comments

Jenga Mtazamo Sahihi Juu Ya Wanaume/Wanawake Kabla Hujaoa/Hujaolewa

Tuingie moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu, watu baadhi wameingia kwenye ndoa na watu sahihi ila mitazamo yao juu yao sio sahihi, wapo wameingia kwenye ndoa sio sahihi kwa sababu ya mitazamo yao isiyo sahihi, na wapo hawataki kuingia kwenye ndoa wamebaki kutangatanga na kila mwanaume/mwanamke kwa sababu ya mitazamo yao mibaya. Mtu [...]

By | August 23rd, 2022|Mahusiano|0 Comments

Usitishwe Na Uchakavu Wa Nje Wa Anayetaka Kukuoa Au Unayetaka Kumuoa

Vijana wengi au watu wengi hili hulipuuza na kutazama hali nzuri ya anayetaka kumuoa au kuolewa naye. Mara nyingi nimekuwa nikiwaambia vijana, "kuna dhahabu zimejificha kwenye tope", hadi kuibaini unahitaji uwe na utulivu wa kiroho na uwe na mahusiano mazuri na Mungu. Wapo wanaume au wanawake, ukimwona kwa jicho la nyama na hali aliyonayo au [...]

By | August 16th, 2022|Mahusiano|0 Comments

Je! Mbinguni Kutakuwa Kuna Kuoa Na Kuolewa?

"Basi, katika kiyama atakuwa mke wa yupi katika hao? Maana wote saba walikuwa naye", Mk 12:23 SUV. Zipo dhana nyingi sana juu ya hili, wapo wanaamini kuwa tukifika mbinguni tutaoa na wengine kuolewa. Wapo wamebaki njia panda, ipi ni sahihi, na ipi sio sahihi, kutokana na mkanganyiko wa mafundisho mbalimbali tofauti juu ya hili. Sio [...]

By | August 11th, 2022|Mahusiano|0 Comments

Vitu 3 Vya Kuzingatia Unapofanyiwa Mambo Mabaya Au Ya Aibu Na Mume/Mke Wako

“Mimi nasema hivi, Uishike amri ya mfalme; na hiyo kwa sababu umeapa kwa Mungu. Usifanye haraka kutoka mbele ya uso wake; usiendelee kufanya lililo baya; maana yeye hufanya lo lote limpendezalo. Kwa kuwa neno la mfalme lina nguvu; naye ni nani awezaye kumwambia huyo, Wafanya nini?” Mhu 8:2‭-‬4 SUV.‬ Hadi mtu kuitwa mume au mke, [...]

By | August 9th, 2022|Mahusiano|0 Comments

Mambo 5 Ya Kuzingatia Ili Usirudie Kosa Ulilowahi Kufanya Huko Nyuma Kwenye Mahusiano Yako

Ukiwa kama kijana wa kike au kiume na uliwahi kufanya makosa huko nyuma ukajiingiza kwenye mahusiano ambayo yalikupa maumivu na yakaharibika, wakati mwingine ukiwaza kuingia kwenye mahusiano mengine unajiona utakutana na yale yale. Wakati mwingine unataka kufanya maamuzi ya kuwa na mtu mwingine ambaye unataka kuanza safari ya kuingia kwenye ndoa, lakini unasita sita kwa [...]

By | July 5th, 2022|Mahusiano|Comments Off on Mambo 5 Ya Kuzingatia Ili Usirudie Kosa Ulilowahi Kufanya Huko Nyuma Kwenye Mahusiano Yako

Watch Dragon ball super