Muulize Bwana Juu Ya Shida Yako Na Sio Wenye Pepo Wa Utambuzi.
Tukiwa kama wakristo tunapaswa kuelewa kwamba tunapokuwa tumeokoka, tunapaswa kusimama na Yesu nyakati zote. Shida inakuja pale mtu anapokuwa ameokoka vizuri, alafu ikatokea shida ngumu kwake. Anaamua kumgeukia Shetani kwa kufikiri kuwa huko ndio kuna msaada mzuri zaidi. Kufanya hivyo kwa mkristo kunamfanya afarakane na Mungu wake. Hii wengi huwa hawaoni kama ina madhara makubwa [...]