Mungu Anaweza Kukurejeshea Tena Kile Ambacho Ulikipoteza.
Kuna vitu katika maisha yetu tunaweza kuvipoteza kwa kushindwa kutii maagizo tunayopewa na Mungu. Tunapovipoteza wengi huwa tunabaki tunaumia, wengine hubaki kulalamika, wengine hubaki kulia, wengine hufikiri kujiua. Wapo wengine huacha wokovu, hasa pale wanapoona sifa yao imekuwa mbaya. Badala ya kutubu na kunyenyekea mbele za Mungu, huwa wanaona njia rahisi ni kuacha wokovu. Wengine [...]