Shuhuda – Chapeo Ya Wokovu

Ushuhuda Wa Jinsi Mungu Amenitendea Kupitia Chapeo Ya Wokovu

Mch Samson; Shalom mtu wa Mungu! Wewe unajua kuanza kwangu Chapeo ya Wokovu hata hapa Mungu aliponifikisha, na mbele ninaendelea kwa msaada wa Mungu. Bado najiona sitoshei katika kujifunza Neno la Mungu, lakini Mungu ananishangaza sana na siwezi kuendelea kunyamaza. Mwaka jana July, nilipewa jukumu na Mchungaji wangu kuwa nafanya maandalio ya masomo kupitia kile [...]

By | August 10th, 2022|Shuhuda|0 Comments

Tusiwazuie Wazee Kumtumikia Mungu Kwa Sababu Ya Umri Wao.

Mhubiri wa neno Mungu amenifundisha jambo hili kwa namna ya pekee sana, na nimeguswa sana na ushuhuda huu nikaona nikushirikishe na wewe rafiki yangu. Mzee mmoja akasimama mbele yetu na kuanza kushuhudia mapito ya utumishi wake, akaanza kwa kusema sikupenda kuanza kumtumikia Mungu katika umri huu mkubwa namna hii wa miaka 60. Bali nilitaka kuanza [...]

By | July 24th, 2021|Shuhuda|0 Comments

Ninamshukuru Mungu Kwa Mambo Makuu Ambayo Amenitendea.

Ninamshukuru Mungu Kwa Mambo Makuu Ambayo Amenitendea. Nina ushuhuda mfupi ambao naamini utaenda kumwinua mtu mmoja kati yetu. Ni ukweli kwamba sikuwa na huduma ambayo nilikuwa naona kuwa hii ndiyo huduma niliyoitiwa kuifanya hapa duniani nilikuwa sielewi kabisa. Ilikuwa mwaka 2016, nilipojiunga na kundi la wasap la chapeo ya wokovu la kusoma neno la Mungu [...]

By | June 24th, 2020|Shuhuda|0 Comments

Ushuhuda Vile Mungu Alivyojibu Hitaji Langu Nililomwomba.

Isaya 49:8(a)Bwana asema hivi, wakati uliokubalika nimekujibu. Shalom watu wa MUNGU. Kuna mambo mengi MUNGU anatenda kwetu na nimeona nisikalie kimya, basi japo nilete mawili. Lengo ni kumwinua KRISTO na kumtia moyo wa imani mtu fulani. Sasa situmii miwani tena. Mwaka jana nilipoteza miwani yangu ya kusomea, nilisikitika sana na jambo la kwanza nilijiuliza nitafanyaje [...]

By | January 27th, 2020|Shuhuda|0 Comments

Karibu Usome Ushuhuda Huu Wa Kweli Niliyoshirikishwa Na Ndugu Aliyekuwa Anafuatilia Masomo Mbalimbali Niliyokuwa Narusha.

Shalom Mtumishii! Namshukuru Mungu kwa ajili ya kundi la Chapeo Ya Wokovu. Mungu amekuwa mwema kwangu, nimeziona nguvu na uweza wake  kwa imani yangu ndogo sana kulinganisha na Neno ambalo umekuwa ukilituma kila siku. Mwaka jana nilipata shida ya mguu wa kushoto baada ya kuanguka kwenye ngazi nikiwa ofisini, shouk niliyokuwa nayo sikuita mama niliita [...]

By | February 7th, 2019|Shuhuda|0 Comments

Watch Dragon ball super