Uwe Macho Usije Ukaingia Kwenye Mikono Ya Mjaribu
"Kwa hiyo mimi nami nilipokuwa siwezi kuvumilia tena, nalituma mtu ili niijue imani yenu, asije yule mjaribu akawajaribu, na taabu yetu ikawa haina faida", 1 The 3:5 SUV. Ukisoma 1 The 2: 18 katika sura tuliyosoma jana utaona mtume Paulo amerudia mara ya pili kutaja shughuli za Shetani. Inaonyesha wazi kuwa Paulo alitambua na kuamini [...]