FIKIRI 11; UNGENYAMAZA.
Nakusalimu katika jina la Yesu Kristo aliye hai, Nina kila sababu ya kumshukuru Mungu kwa uzima wake ambao anaendelea kunipa, na hii nafasi ya kuendelea kutukutanisha na wewe. Kunyamaza ni nzuri sana, na vile vile kunyamaza ni mbaya sana, upo wakati unapaswa kunyamaza kimya. Na upo wakati unapaswa kutonyamaza kimya. Kwanini nasema hivi, hebu fikiri [...]