Mahusiano – Chapeo Ya Wokovu

Njia Rahisi Ya Kumvuta Mume Wako Kwenye Maisha Ya Wokovu

"Kadhalika ninyi wake, watiini waume zenu; kusudi, ikiwa wako wasioliamini Neno, wavutwe kwa mwenendo wa wake zao, pasipo lile Neno", 1 Pet 3:1 SUV. Petro anatoa fundisho kwa mwanamke aliyeolewa na aliyepata neema ya wokovu wakiwa kwenye ndoa. Anapaswa awe na ushawishi kupitia matendo yake, ili aweze kumvuta mume wake asiyeamini aweze kuokoka. Moja ya [...]

By | March 15th, 2023|Mahusiano|0 Comments

Zinaa Sio Ya Kuifurahia Na Kuimbilia Kuifanya

"Ikimbieni zinaa. Kila dhambi aitendayo mwanadamu ni nje ya mwili wake; ila yeye afanyaye zinaa hutenda dhambi juu ya mwili wake mwenyewe", 1 Kor 6:18 SUV. Zipo dhambi nyingi zilizo chukizo mbele za Mungu, lakini hizi dhambi zinatofautiana katika utendaji wake na viwango vyake. Zinaa ina utofauti na dhambi zingine, hili ni tendo ambalo humchukiza [...]

By | December 5th, 2022|Mahusiano|0 Comments

Jenga Mtazamo Sahihi Juu Ya Wanaume/Wanawake Kabla Hujaoa/Hujaolewa

Tuingie moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu, watu baadhi wameingia kwenye ndoa na watu sahihi ila mitazamo yao juu yao sio sahihi, wapo wameingia kwenye ndoa sio sahihi kwa sababu ya mitazamo yao isiyo sahihi, na wapo hawataki kuingia kwenye ndoa wamebaki kutangatanga na kila mwanaume/mwanamke kwa sababu ya mitazamo yao mibaya. Mtu [...]

By | August 23rd, 2022|Mahusiano|0 Comments

Usitishwe Na Uchakavu Wa Nje Wa Anayetaka Kukuoa Au Unayetaka Kumuoa

Vijana wengi au watu wengi hili hulipuuza na kutazama hali nzuri ya anayetaka kumuoa au kuolewa naye. Mara nyingi nimekuwa nikiwaambia vijana, "kuna dhahabu zimejificha kwenye tope", hadi kuibaini unahitaji uwe na utulivu wa kiroho na uwe na mahusiano mazuri na Mungu. Wapo wanaume au wanawake, ukimwona kwa jicho la nyama na hali aliyonayo au [...]

By | August 16th, 2022|Mahusiano|0 Comments

Je! Mbinguni Kutakuwa Kuna Kuoa Na Kuolewa?

"Basi, katika kiyama atakuwa mke wa yupi katika hao? Maana wote saba walikuwa naye", Mk 12:23 SUV. Zipo dhana nyingi sana juu ya hili, wapo wanaamini kuwa tukifika mbinguni tutaoa na wengine kuolewa. Wapo wamebaki njia panda, ipi ni sahihi, na ipi sio sahihi, kutokana na mkanganyiko wa mafundisho mbalimbali tofauti juu ya hili. Sio [...]

By | August 11th, 2022|Mahusiano|0 Comments

Vitu 3 Vya Kuzingatia Unapofanyiwa Mambo Mabaya Au Ya Aibu Na Mume/Mke Wako

“Mimi nasema hivi, Uishike amri ya mfalme; na hiyo kwa sababu umeapa kwa Mungu. Usifanye haraka kutoka mbele ya uso wake; usiendelee kufanya lililo baya; maana yeye hufanya lo lote limpendezalo. Kwa kuwa neno la mfalme lina nguvu; naye ni nani awezaye kumwambia huyo, Wafanya nini?” Mhu 8:2‭-‬4 SUV.‬ Hadi mtu kuitwa mume au mke, [...]

By | August 9th, 2022|Mahusiano|0 Comments

Mambo 5 Ya Kuzingatia Ili Usirudie Kosa Ulilowahi Kufanya Huko Nyuma Kwenye Mahusiano Yako

Ukiwa kama kijana wa kike au kiume na uliwahi kufanya makosa huko nyuma ukajiingiza kwenye mahusiano ambayo yalikupa maumivu na yakaharibika, wakati mwingine ukiwaza kuingia kwenye mahusiano mengine unajiona utakutana na yale yale. Wakati mwingine unataka kufanya maamuzi ya kuwa na mtu mwingine ambaye unataka kuanza safari ya kuingia kwenye ndoa, lakini unasita sita kwa [...]

By | July 5th, 2022|Mahusiano|Comments Off on Mambo 5 Ya Kuzingatia Ili Usirudie Kosa Ulilowahi Kufanya Huko Nyuma Kwenye Mahusiano Yako

Namna Ya Kukabiliana Na Matamanio/Matarajio Yako Na Ya Wazazi/Ndugu Kuhusu Kuoa Na Kuolewa.

Wazazi wanapitia changamoto ya watoto wao kutoolewa na kutooa kwa wakati waliotarajia wao, vijana wa kiume wakiulizwa kuhusu hili wana sababu nyingi juu ya hili. Wapo watakuambia bado hawajaona wa kumuoa, wengine watasema wasichana wanachagua sana wanaume wa kuwaoa, wengine watakuambia muda bado, na wengine wanauguza maumivu ya kuachwa kipindi kilichopita. Wengine wana hofu kutokana [...]

By | June 25th, 2022|Mahusiano|0 Comments

Usimtende Mabaya Mke Wa Ujana Wako.

Mke na mume "Lakini ninyi mwasema, Ni kwa sababu gani? Ni kwa sababu BWANA amekuwa shahidi kati ya wewe na mke wa ujana wako, uliyemtenda mambo ya hiana, angawa yeye ni mwenzako, na mke wa agano lako", Mal 2:14 SUV. Wanaume wengi wa Kiyahudi baada ya kutoka uhamishoni walikuwa siyo waaminifu kwa wake zao ambao [...]

By | June 23rd, 2022|Mahusiano|0 Comments

Hatua Tano(5) Za Kukusaidia Unapojikuta Umri Umeenda Na Unahitaji Kuoa/Kuolewa Ila Hupati/Huoni Wa Kukuoa Au Wakumuoa.

Moja ya eneo ambalo linawapa changamoto wengi ni pale mtu anapofika muda wa kuhitaji kuoa/kuolewa ila anakuwa haoni yule anayemhitaji, wengine uvumilivu huwashinda na kujikuta wanaingia kwenye mahusiano ambayo hawakuyataka au hawakuyatarajia. Kuchelewa kuoa/kuolewa kunachangiwa na sababu mbalimbali, mwenye changamoto hii asimpomtegemea Mungu, au Imani yake ikiyumba, au asipopata washauri wazuri, atafanya maamuzi ambayo sio [...]

By | April 15th, 2022|Mahusiano|0 Comments

Watch Dragon ball super