Je! Mbinguni Kutakuwa Kuna Kuoa Na Kuolewa?
"Basi, katika kiyama atakuwa mke wa yupi katika hao? Maana wote saba walikuwa naye", Mk 12:23 SUV. Zipo dhana nyingi sana juu ya hili, wapo wanaamini kuwa tukifika mbinguni tutaoa na wengine kuolewa. Wapo wamebaki njia panda, ipi ni sahihi, na ipi sio sahihi, kutokana na mkanganyiko wa mafundisho mbalimbali tofauti juu ya hili. Sio [...]