Punguza Kuongea Sana Na Kujitetea Kupita Kiasi
"Kisha Kuhani Mkuu akasimama katikati, akamwuliza Yesu, akisema, Hujibu neno? Hawa wanakushuhudia nini? Lakini akanyamaza, wala hakujibu neno. Kuhani Mkuu akamwuliza tena, akamwambia, Wewe ndiwe Kristo, Mwana wake Mtukufu?" Mk 14:60-61 SUV Katika maisha haya unaweza kujikuta upo kwenye shutuma fulani nzito, inaweza ikawa ni kweli, ama inaweza isiwe kweli. Unaposhutumiwa jambo ambalo hujalifanya, inaweza [...]