JE Umelaaniwa au Umebarikiwa na MUNGU?
*BWANA asema hivi, Amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu, Amfanyaye mwanadamu kuwa kinga yake Na moyoni mwake amemwacha BWANA. Yer 17:5 SUV* Kila mtu anaweza akawa na nafasi ya kujivunia wazazi wake, watoto wake, ndugu zake, marafiki zake, vile wanavyomsaidia mahitaji mbalimbali katika maisha yake. Kujivunia huku kunaweza kusiwe na tatizo lolote ikiwa mtu huyu hatawaona [...]