Chimba Ukate Mizizi Na Shina La Uchungu Ndani Yako
"Mkiangalia sana mtu asiipungukie neema ya Mungu; shina la uchungu lisije likachipuka na kuwasumbua, na watu wengi wakatiwa unajisi kwa hilo", Ebr 12:15 SUV. Shina la uchungu humaanisha roho na hali ya uhasama na chuki kali iliyo ndani ya mtu. Hali hii inaweza ikawa kumwelekea Mungu au iliyosababishwa na matendo mabaya aliyotendewa mtu. Uchungu husababishwa [...]