Usiambatane Na Watu Wasiopenda Kufanya Kazi
"Ndugu, twawaagiza katika jina la Bwana Yesu Kristo, jitengeni nafsi zenu na kila ndugu aendaye bila utaratibu, wala si kwa kufuata mapokeo mliyoyapokea kwetu", 2 The 3:6 SUV. Watu wasio na utaratibu waliosemwa hapa ni wale watu waliokuwa wanazurura na hawakupenda kufanya kazi. Walichokuwa wanafanya ni kuwa walitumia vibaya ukarimu wa kanisa na walipokea misaada [...]