Tusiwazuie Wazee Kumtumikia Mungu Kwa Sababu Ya Umri Wao.
Mhubiri wa neno Mungu amenifundisha jambo hili kwa namna ya pekee sana, na nimeguswa sana na ushuhuda huu nikaona nikushirikishe na wewe rafiki yangu. Mzee mmoja akasimama mbele yetu na kuanza kushuhudia mapito ya utumishi wake, akaanza kwa kusema sikupenda kuanza kumtumikia Mungu katika umri huu mkubwa namna hii wa miaka 60. Bali nilitaka kuanza [...]