Mambo 5 Unayopaswa Kuyafahamu Kama Unataka Kusoma Na Kutafakari Biblia Yako Kila Siku
Bwana Yesu asifiwe wana wa Mungu, Mungu ametupa neema ya kuweza kuona siku nyingine tena, kuanza wiki mpya kabisa, huu ni upendeleo wa hali ya juu sana kwetu, na tunapaswa kuona ni fursa kwetu kuendelea kulitukuza jina la Yesu. Tunapoanza wiki hii, nikukumbushe safari yetu ya usomaji wa neno la Mungu, moja ya safari ambayo [...]