SOMA NENO UKUE KIROHO _117.
Chagua Mtu Wa Kujifunza Mambo Mazuri Kwake. Haleluya, nakusalimu katika jina la Bwana wetu YESU Kristo aliye hai, siku nyingine tena njema Mungu ametupa kibali cha kuiona. Kila mmoja wetu anapaswa kuweka alama njema katika siku ya leo. Tunaendelea kushirikishana mbinu mbalimbali za namna ya kukua kiroho, kwa kusoma NENO la MUNGU, na kuyaishi yale [...]